Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba, 2017

BURUDANI: Vee Money Atoa Rasmi list ya Nyimbo 18 kwenye Album yake Mpya.

Picha
Tazama list ya Nyimbo 18 kwenye ALbum mpya ya Vee Money, Money Mondays.

MICHEZO: Uncle Tom ' Thomas Rosicky' Atangaza Rasmi kutundika Daluga

Picha
Aliyekua  kiungo wa Arsenal Thomas Rosicky Ametangaza Rasmi kutundika Daluga aliwa na miaka 37 mapema leo, Alijiunga na Arsenal akitokea Borussia Dortmund mwaka 2007, Hivyo ameichezea Arsenal kwa miaka 10 ya mafanikio.

BURUDANI: Msanii Nyota ' Vee Money ' Apata Shavu la Maana Kutoka Universal Music, Ameahidi kufanya makubwa.

Picha
msanii nyota Vanessa Mdee ' Vee Money' Apata shavu la Maana kutoka Universal Music kupitia ukurasa wake wa Instagram mwanadada Vanessa amethibitisha hayo, Na hili ni moja kati ya Madili nono kuwahi kutokea kwa wasanii kutoka Afrika. Hongera Vanessa kwa kuendelea kuipeperusha Bendera ya Tanzania ipasavyo. Endelea kukaa nasi kwa Habari Zaidi.

BURUDANI: Diamond Platnumz Afanya Kufuru London, Apiga Show Matata Mashabiki wapagawa.

Picha
         Diamond Platnumz Msanii Nyota Wa Bongo Fleva Diamond Platnumz Amepiga Show kali nchini Uingereza Mjini London Usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Nimekusogezea baadhi ya picha za show hio. Endelea Kukaa nasi.

BURUDANI: Sikufikiria kwamba Alikiba atakuwa amenisahau- Abdukiba

Picha
Msanii wa muziki Bongo, Abdu Kiba amefunguka sababu za ukimya wake kabla ya kutoa ngoma ‘Single’.  Alikiba na Abdu Kiba Muimbaji huyo ameiambia E-Newz, EATV kuwa menejimenti (King’s Music) ndio ilipendekeza awe kimya ili atakaporudia awe na kitu kipya na siyo kwamba Alikiba alikuwa amemsahau kama inavyokuwa ikizungumzwa. “Kwa upande wangu sikufikiria kwamba Brother atakuwa amenisahau ila mimi nilikubaliana na matakwa ya menejiment, kwamba natakiwa kukaa kimya kwa kipindi, hata mwaka ili nikirudi watu waone amerudi Abdu mpya” amesema.

HABARI ZETU: Mwanamke auwawa kikatili na kuzikwa kwenye shamba la viazi kisa wivu wa mapenzi.

Picha
Kisa hiki cha kusikitisha kimetokea jana tarehe 14, huko wilayani Ngara mkoani Kagera, Ambapo mwanamke mmoja anaedaiwa kuwa ni mmoja kati ya wake wawili walioolewa na mwanaume mmoja, amechukua maamuzi ya kinyama na kuumua mke mweza kikatili na kisha kumzika mwenyewe kwenye shamba la viazi. Endelea kukaa nasi. #Instagram - Afrochrtz - Iamhumphrey8

HABARI ZETU: Jokate Awapa somo vijana wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii.

Picha
Vijana wameshauriwa kuacha kutumia vibaya mitandao ya kijamii badala yake itumike kuweza kuwasaidia kujikwamua katika maendeleo. Jokate ambaye ni mjasiliamali pamoja na mhamasishaji haswa kwa vijana, kwa sasa yupo katika kampeni ya kuwakumbusha vijana wajibu wao ili waweze kujitambua kupitia kampuni ya Sahara Group inayo saidia kuwapa Elimu vijana juu ya mustakabali wamaisha yao. ”Vijana wasitumie mitandao ya kijamii kujua kuwa Jokate amevaaje leo, au kaweka nywele gani, inatakiwa watafute taarifa mbalimbali ambazo kila wakati hutolewa katika ‘Internet’ ili ziweze kuwapa ufahamu na pengine kuwasaidia” amesema Jokate.

BURUDANI;WASANII WA MWAKA WA billboard HAWA APA

Picha
billboard kupitia akaunti zao za instagram mwezi december mwaka huu waliwataja majina ya wasanii wao bola wa mwaka 2017 kwa kigezo cha nyimbo zao kukaa kipindi kirefu katika kumi bola za billboard Hot 100 orodha hiyo ni kaifwatavyo  Ed sheeran Ndio kaibuka kidedea kwa ngoma ya "shape of you" kukaa wiki 33 na kuwa msanii bola wa kiume wa mwaka pia ngoma ya "Perfect," imefanya vizur mwaka huu hivyo ikaendelea kumpaisha Wengine ni 2-Brunomars ,3-drake,4- kendrick (humble) 5-The weekend, 6-chainsmokers,7- justinbiber,8- future ,9-shawnmendes , 10-Bts Na aliyeibuka kuwa msanii bora wa mwaka kwa wanawake ni Ariana Grande na kibao chake cha "side to side" akishilikiana na Mkali Nick minaj ndo imethibitisha uwezo wa wanamama huyu kwa kukaaa wiki 14 kwenye kumi bola za billboard Hao ndo wa kali wa mwaka wa 2017 kwa burudani zaidi sikiliza ngoma zao na endelea kufollow afrochart  #afrochart tunasogeza utamu karibu hapo ulipo Tucheki Insta... Iamhump...

HABARI: Bingwa wa Kupanda Majengo Marefu Afariki Dunia.

Mpanda mijengo mirefu ambaye ni maarufu sana nchini China amefariki akiwa anaonyesha moja ya ujuzi wake hatari. Wu Yongning alikuwa amejizolea maelfu ya mashabiki kwenye mtandao ya kijamii wa Weibo, kutokana na video zake fupi za kutisha akiwa juu ya majengo marefu bila ya kuchukua tahadhari zozote za kiusalama. Wasi wasi uliwaingia mashabiki wake wakati ambapo aliacha kuchapisha video zake mwezi Novemba mwaka huu.

FAHAMU;Kutana Na Fundi Gereji Aliyetelekezwa Wazazi Wake Na kuwa Billionea Aliyeanzisha Kampuni Ya Apple.

Picha
Steve Jobs (24 Februari 1955 – 5 Oktoba 2011 ) FAMILIA Steve Jobs alizaliwa mwaka 1955 na wazazi wake kumtelekeza ndipo walipojitokeza Paul jobs na mkewe  kisha kumchukua nakumpa jina la steve Jobs  na toka utoto wake alikuwa akifanya kazi na baba yake katika gereji ya familia akimfundisha mambo ya kielektronia ELIMU Steve Jobs alikuwa ni kijana mwenye akili na mbunifu alipokuwa katika elimu ya mwanzo walimu walikuwa wakitaka kumrusha madarasa lakini wazazi wake walikataa Alifanikiwa  kufika elimu ya ngazi ya juu chuo cha Reed collage lakini akufanikiwa kumaliza na kufukuzwa baada ya miezi sita ndipo akaludi katika gereji ya baba ake lakini akiendele kushilikiana na rafiki yake Steve wozniak waliokutana chuoni na kufanikiwa kutengeza komptyu ya apple I .Fedha zilizotumika zilipatikana baada ya steve jobs kuuza  basi yake aina ya volkswagen na Wozniak kuuza kikotozi chake( scientific calculator ) MAISHA YAKE Alikuwa mvumbuzi wa Marekani na mfanyabiashar...

BURUDANI: TEKNO Apata Shavu kwa DRAKE Azidi kutamba, Drake Amkubali Zaidi kuliko Wizkid.

Picha
Msanii Kutoka Nigeria Ambaye mapema mwaka jana alisaini mkataba na kampuni ya Mziki ya Sony,Apata shavu la kutosha kutoka kwa rapa Drake baada ya picha kusambaa akiwa studio na Drake nchini Marekani, Licha ya hivyo Drake anaonekana kumkubali staa huyo aliyetamba na Wimo wake Wa DURO, Tutegemee ngoma kali kutoka kwa Tekno akimshirikisha rapa Drake Je kolabo yake itakua kali zaidi ya ile ya Wizkid COME CLOSER.?

BURUDANI: Msanii GIB CARTER 'Wizkid' wa Bongo azidi kutoboa.

Picha
Msanii wa Bongo fleva anayechipukia kwa kasi Gib Carter 'wizkid' wa bongo azidi kutoboa anga Baada ya video yake Ya SAWALA kuendelea kufamya vizuri Katika vituo mbalimbali vya redio na Tv nchini, huku mwenyewe akizidi kuushukuru zaidi uongozi wa lebo yake mpya ya Top Class kwa kumsimamia na kumpa mwongozo mzuri.

MICHEZO : Chelsea uso kwa uso na Fc Barcelona , Real Madrid Kuumana na Paris Saint Germany 16 Bora.

Picha
Hatua ya Mtoano maarufu kama 16  Bora droo yake imepamgwa leo mchana Tazama hapa

BURUDANI: Wema Sepetu Baada ya Kuikacha CHADEMA aja na hili kubwa.

Picha
Mrembo wema sepetu anaetingisha Bongo nzima na viunga vyake maarufu kama East African Sweetheart, Baada ya kuikacha CHADEMA sasa aj n hili jipya, Ameingia ubia na kampuni ya usafiri Jijini la Daresalaam ya Taxify.

BURUDANI: Album mpya ya Diamond Platnumz ina nyimbo 18

Picha
Msanii Diamond Plutnumz anatarajia kutoa album yake mpya aliyoipa jina la A BOY FROM TANDALE ambayo ndani yake ina nyimbo 18 na ni wasanii watatu wa Tanzania waliobahatika kushirikishwa humo Young killer kweny Pamela Rayvany kwenye Iyena na Vanessa Mdee kwenye Far Away. Share na tufuate katika  Instagram  @iamhumphrey8  Twitter @ officialhumph

BURUDANI: Alikiba Aanza Funga mwaka huko visiwani Zanzibar kwa Shangwe.

Picha
Nimekusogezea picha za msanii Alikiba ( Kingkiba ) alivyotumbuiza katika stage jana usiku.

SOKA: Mabingwa watetezi wakaa mbele ya wagonga nyundo wa London

Picha
Bao moja la Arnatovic mnamo dakika ya sita 6'  ya mchezo limetosha kuwakalisha mabingwa watetezi Chelsea Katika london derby na mchezo kumalizika Westham 1-0 Chelsea        Arnatovic

FAHAMU: Nchi zenye wanaume wenye maumbile makubwa duniani Congo yawa tishio

Picha
Vipimo vipo katika inchi pamoja na sentimeta zake Tazama Hapa chini nimekusogezea 1.Congo – 7.1 inches – 17.93 cm 2.Ecuador – 6.9 inches – 17.77 cm 3.Ghana – 6.7 inches – 17.31 cm 4.Colombia – 6.7 inches – 17.03 cm 5.Venezuela – 6.7 inches- 17.03 cm 6.Lebanon – 6.6 inches – 16.82 cm 7.Cameroon – 6.5 inches – 16.67 cm 8.Bolivia – 6.5 inches – 16.51 cm 9.Hungary – 6.5 inches – 16.51 cm

FAHAMU: Leo tarehe 9 Desemba kumbukumbu ya siku ya Uhuru wa Tanzania

Picha
K umbukumbu ya siku ya uhuru wa Tanganyika kama ilivyokua ikiitwa kabla ya Muungano na Zanzibar maadhimisho ya sikukuu hii kitaifa yanafanyika Mjini Dodoma, Miaka 56 ya uhuru. #HappyindependencedayTanzania 

SOKA: Mabingwa watetezi wamekaa mbele ya wagonga nyundo wa London

Picha
Bao moja la arnatovic katika dakika ya Sita 6' ya mchezo limetosha kuwalaza mabingwa watetezi chelsea mbele ya wagonga nyundo wa London katika London dery Na mchezo kumalizika Westham1-0 Chelsea.        Arnautovic Tufuate katika Instagram  Iamhumphrey8  Twitter  Officialhumph

FAHAMU: Nchi za Afrika zenye warembo matata zaidi Je Tanzania ipo?

Picha
1. Somalia Hatuwezi kuharibu urembo, Somalia ni nchi yenye wanawake wazuri sana Africa, Unamkumbuka Iman, yule model wa Kisomari na ule mwendo wake wa kupendeza katika Word best fashion competition, uzuri wao unatokana na ngozi zao(chocolate skin), na nywele zao ndefu na laini. 2. Rwanda Ndio kila sehemu duniani ina wanawake wazuri ila wanawake wa Rwanda wapo class za juu zaidi 3.Ethiopia  Model wazuri kuanzia sura hadi maumbile yao wengi wapo Ethiopia  4. Misri Nchi hii ilishawai kuwa na world best female model 2004-2006 5.Djibouti  6. Eritrea Ni nchi iliyopo katika pembe ya Africa, mji wake mkuu ni Asmara. Wanawake wengi nchini humo wanavipaji mbalimbali ikiwemo wanamitindo  7. Tanzania Aliwai kuwa miss Tanzania 8.Morocco Rabat – Fati Jamali ana taji la mwanamke mzuri zaidi wa kiarabu mwaka 2014. 9. Ghana Mdada huyu anatokea Ghana, ni miongoni mwa waigizaji wazuri nchini Ghana na Nigerian movie industry. 10. ...