BURUDANI: Msanii GIB CARTER 'Wizkid' wa Bongo azidi kutoboa.
Msanii wa Bongo fleva anayechipukia kwa kasi Gib Carter 'wizkid' wa bongo
azidi kutoboa anga Baada ya video yake Ya SAWALA kuendelea kufamya vizuri
Katika vituo mbalimbali vya redio na Tv nchini, huku mwenyewe akizidi
kuushukuru zaidi uongozi wa lebo yake mpya ya Top Class kwa kumsimamia na kumpa mwongozo mzuri.
azidi kutoboa anga Baada ya video yake Ya SAWALA kuendelea kufamya vizuri
Katika vituo mbalimbali vya redio na Tv nchini, huku mwenyewe akizidi
kuushukuru zaidi uongozi wa lebo yake mpya ya Top Class kwa kumsimamia na kumpa mwongozo mzuri.
Maoni
Chapisha Maoni