BURUDANI: Sikufikiria kwamba Alikiba atakuwa amenisahau- Abdukiba

Msanii wa muziki Bongo, Abdu Kiba amefunguka sababu za ukimya wake kabla ya kutoa ngoma ‘Single’.

 Alikiba na Abdu Kiba

Muimbaji huyo ameiambia E-Newz, EATV kuwa menejimenti (King’s Music) ndio ilipendekeza awe kimya ili atakaporudia awe na kitu kipya na siyo kwamba Alikiba alikuwa amemsahau kama inavyokuwa ikizungumzwa.

“Kwa upande wangu sikufikiria kwamba Brother atakuwa amenisahau ila mimi nilikubaliana na matakwa ya menejiment, kwamba natakiwa kukaa kimya kwa kipindi, hata mwaka ili nikirudi watu waone amerudi Abdu mpya” amesema.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAHAMU: Nchi zenye wanaume wenye maumbile makubwa duniani Congo yawa tishio

FAHAMU: Nchi za Afrika zenye warembo matata zaidi Je Tanzania ipo?