HABARI ZETU: Mwanamke auwawa kikatili na kuzikwa kwenye shamba la viazi kisa wivu wa mapenzi.

Kisa hiki cha kusikitisha kimetokea jana tarehe 14, huko wilayani Ngara mkoani Kagera, Ambapo mwanamke mmoja anaedaiwa kuwa ni mmoja kati ya wake wawili walioolewa na mwanaume mmoja, amechukua maamuzi ya kinyama na kuumua mke mweza kikatili na kisha kumzika mwenyewe kwenye shamba la viazi.

Endelea kukaa nasi.
#Instagram - Afrochrtz
- Iamhumphrey8

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAHAMU: Nchi zenye wanaume wenye maumbile makubwa duniani Congo yawa tishio

FAHAMU: Nchi za Afrika zenye warembo matata zaidi Je Tanzania ipo?