SOKA: Mabingwa watetezi wamekaa mbele ya wagonga nyundo wa London

Bao moja la arnatovic katika dakika ya Sita 6' ya mchezo limetosha kuwalaza mabingwa watetezi chelsea mbele ya wagonga nyundo wa London katika London dery Na mchezo kumalizika Westham1-0 Chelsea.

       Arnautovic



Tufuate katika Instagram Iamhumphrey8 Twitter Officialhumph

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAHAMU: Nchi zenye wanaume wenye maumbile makubwa duniani Congo yawa tishio

FAHAMU: Nchi za Afrika zenye warembo matata zaidi Je Tanzania ipo?