BURUDANI: Album mpya ya Diamond Platnumz ina nyimbo 18

Msanii Diamond Plutnumz anatarajia kutoa album yake mpya aliyoipa jina la A BOY FROM TANDALE ambayo ndani yake ina nyimbo 18 na ni wasanii watatu wa Tanzania waliobahatika kushirikishwa humo Young killer kweny Pamela
Rayvany kwenye Iyena na
Vanessa Mdee kwenye Far Away.


Share na tufuate katika 
Instagram 
@iamhumphrey8 
Twitter @ officialhumph

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAHAMU: Nchi zenye wanaume wenye maumbile makubwa duniani Congo yawa tishio

FAHAMU: Nchi za Afrika zenye warembo matata zaidi Je Tanzania ipo?