Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2018

BURUDANI: Mtandao wa Instagram Waja na Video ya Saa Moja, Youtube Itapata Tabu sana Kibiashara

Picha
Kwa kile kinachoonekana ni ushindani mkubwa wa kibishiara,mtandao wa Instagram umezindua huduma yao mpya inayoitwa IGTV,Ambayo itaruhusu watumiaji wa Mtandao huu kupost video yenye urefu wa dakika 60 ( saa moja ) kutoka kwenye Dakika Moja ya Awali yote haya yamesemwa na CEO wa instagram kevin systrom  mapema leo huko St Fransisco, kitu kilichopokewa kwa hisia tofauti na wachambuzi wa masuala ya Biashara wakisema kama instagram inaweza kuwekwa video ya saa moja basi kibiashara mtandao wa Youtube Utapata Tabu Sana.

MICHEZO: Ronaldo De Lima Ajiunga Na klabu Kongwe Ya Italia

Picha
Miaka 21 iliyopita siku kama ya leo mtaalamu wa mpira wa miguu Ronaldo De Lima alijiunga na klabu ya Inter Milan kwa rekodi ya Dunia kwa kipindi icho 20 June 1997

MICHEZO: Saudi Arabia Waungana na Morocco Kuyaaga mashindano ya kombe laDunia.

Picha
Timu tatu hadi sasa zimeaga kombe la dunia morocco, Saudi Arabia, Misri akiwa mguu nje mguu ndani FIFA WORD CUP 2018 Tayari mpaka sasa team tatu zishaaga rasmi mashindano ya Kombe la dunia ambapo Morocco walikuwa wa kwanza kuaga mashindano hayo mapema leo Jioni wakifuatiwa na Misri na Saudi arabia ambao wote kwa Pamoja wameaga mashindano hayo baada ya mchezo wa Uruguay dhidi ya Saudi Arabia kumalizika kwa Uruguay kushinda kwa bao moja kwa bila *Team zilizofuzu 16 bora mpaka sasa ni* Russia Uruguay *Team Zilizoaga mashindano mpaka sasa ni* Morocco Misri Saudi Arabia

MICHEZO: Ronaldo Aumiza, Morocco Waaga Kombe La dunia Kwa Kipigo.

Picha
  BREAKING NEWS!!! MOROCCO Yaweka historia ya kuwa  team ya kwanza kuaga mashindano katika fainali za kombe la Dunia 2018 Ni baada ya kufungwa goli moja kwa sifuri dhidi ya Portugal (Ureno) Goli lililofungwa na Mshambuliaji Cristiano Ronaldo  Hadi kufikia sasa Morocco hawana tena cha kushindania japokuwa wamebakisha mchezo mmoja wa mwisho dhidi ya Hispania ambapo mchezo huo hautakuwa na faida kwao

BURUDANI: Vee Money Aja Kivingine Safari Hii kiuswazi Zaidi, Barnaba Nae Ndani.

Picha
Msanii Star Wa Bongo Fleva Vanessa Mdee "Vee Money " Mapema leo mchana ameachia Ngoma mpya ambayo ndani yake yupo mkali kutoka THT "Barnaba " nyimbo flani yenye mahadhi ya kiswahili inayokwenda kwa jina la CHAUSIKU. Usisahu kudondosha Comment yako hapo Chini.

MICHEZO: Ubelgiji Yaanza Vizuri, Yainyuka Panama Bila Woga Lukaku,Hazard Wazidi Kutamba.

Picha

MICHEZO: Brazil, Ujerumani Zakalia Pabaya Kombe La Dunia, Ufaransa Yang'aa

Picha
Timu YaTaifa Ya Brazil Mapema Jana ililazimishwa Sare ya 1-1 dhidi ya Uswisi baada ya Kusawazisha Bao lake kupitia kwa Phillipe Coutinho , Vile vile Timunya Taifa Ya Ujerumani nayo imeanza vibaya michuano hiyo, ikumbukwe Hawa ndio mabingwa watetezi. humphreygasper.blogspot.com

BURUDANI: Harmonize Apagawisha Dar Live, Mzungu wake Awaacha Midomo Wazi Mashabiki.

Picha
Msanii Harmonize Mapema Juzi alitoa burudani ya moto kwa mashabiki zake pande za Mbagala.

MICHEZO: RUSSIA vs SAUDI ARABIA

Picha
Matukio yote ya Jana kwenye mechi ya Russia wenyeji dhidi ya Saudi Arabia 

MICHEZO: Antonnie Griezman Awashangaza Barcelona

Picha
Mara Baada Ya Tetesi nyingi kusambaa kuhusiana na Uhamisho wa Antonnie Griezman kwenda Barcelona , Mapema Jana Ametangaza Rasmi kwamba Ataendelea Kusalia Katika timu Ya Atletico yenye Makazi yake Mjini Madrid

MICHEZO: Real Madrid Yamtangaza Kocha Wao Mpya Rasmi

Picha
Mara Baada ya Kufutwa Kazi Katika Team Ya Taifa ya Spain, Mapema Jana Ametangazwa Rasmi kuwa Kocha Wa Timu Ya Real Madrid!

MICHEZO: Tazama Rekodi Za Kocha Wa Spain Aliyetimuliwa, Ni Mara Baada Ya Real Madrid Kumtangaza Kama Kocha Mkuu Wa Msimu Ujao Klabuni Hapo

Picha
Nimekusogeza rekodi zote za kocha wa Spain Aliyetimuliwa mapema Juzi mara baada ya Real Madrid Kumtangaza Kama Kocha Mkuu.

MICHEZO: Ratiba Ya Ligi Kuu Nchini England Iko Mezani Arsenal Vs Mancity Moto Unawaka

Picha
Nimekusogezea Ratiba Ya Ligi Kuu Nchini England Kwa Msimu Wa 2018/2019

BURUDANI: Diamond Platnumz Aweka Rekodi Nyingine.

Picha
Star Wa Bongo Fleva Diamond Platnumz Ameweka rekodi Nyingine Baada Ya Nyimbo Yake Mpya Ya Iyena Kufikisha Viewers Milioni 4 Katika Mtandao wa Youtube

MICHEZO: Hatma Ya Antony Martial Ndani Ya Manchester United Yaanza Kuonekana.

Picha
Mshambuliaji wa Manchester United Na timu ya Taifa Ya ufaransa Antony Martial Ameomba Kuondoka Klabuni Hapo, Habari Kutoka kwa Wakala wake, Hii ni Mara Baada Ya Martial Kutemwa Katika kikosi Hicho kwa ajili ya Michuano ya Kombe La Dunia, Inayoanza kutimua vumbi leo.

MICHEZO: Viera Uso Kwa Uso Na Balotelli

Picha
Kiungo wa Zamani Wa Arsenal Na Timu Ya Taifa ya Ufaransa Mkongwe Patrick Viera , Ameteuliwa Rasmi kuwa Kocha Mkuu ya Klabu Ya Nice Ya Pale Nchini Ufaransa Mapema jana, Akitokea Nchini Marekani, Na Atakua pamoja na Mshambuliaji Mtukutu Mario Balotelli ' Super Mario'

BURUDANI: Vee Money Apagawisha Nchini Gabon, Apiga Show Matata

Picha
Mwanadada Vanessa Mdee 'Vee Money' Usiku wa Kuamkia Juzi alipiga show moja matata pale nchini Gabon, Katika Show hio pia alikuwepo Raisi wa Gabon Omari Ali Bongo.

MICHEZO: Gor Mahia Ya kenya Kiulaini Ndani Ya Goodson Park, Ni Mara Baada Ya kumla Mnyama Mapema Jana

Picha
Mechi ya fainali ya SportPesa Super Cup imemalizika kwa mabingwa wa Ligi Kuu nchini Kenya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0. Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Afraha mjini Nakuru, Gor Mahia walitawala zaidi mchezo wakiwa na kikosi chao kamili huku Simba wakipata wakati mgumu kutengeneza nafasi za kufunga. Gor Mahia wamejipatia mabao yao kupitia kwa Mshambuliaji wao hatari, Medy Kagere aliyefunga la kwanza katika dakika ya 6 tu ya mchezo na kufanya kipindi cha kwanza kiende kwa bao 1-0. Kipindi cha pili kilianza tena kwa Gor Mahia kuzidi kulisakama lango la Simba wakionesha njaa ya kupata goli jingine ambapo mnamo dakika ya 54, Tuyisenga alifunga bao la pili kwa kumalizia mpira wa krosi uliopigwa kutoka kulia mwa Uwanja na kumuacha Kipa Aishi Manula akiwa hana cha kufanya.