MICHEZO: Ronaldo Aumiza, Morocco Waaga Kombe La dunia Kwa Kipigo.


 BREAKING NEWS!!!

MOROCCO Yaweka historia ya kuwa  team ya kwanza kuaga mashindano katika fainali za kombe la Dunia 2018

Ni baada ya kufungwa goli moja kwa sifuri dhidi ya Portugal (Ureno) Goli lililofungwa na Mshambuliaji Cristiano Ronaldo 

Hadi kufikia sasa Morocco hawana tena cha kushindania japokuwa wamebakisha mchezo mmoja wa mwisho dhidi ya Hispania ambapo mchezo huo hautakuwa na faida kwao



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAHAMU: Nchi zenye wanaume wenye maumbile makubwa duniani Congo yawa tishio

FAHAMU: Nchi za Afrika zenye warembo matata zaidi Je Tanzania ipo?