MICHEZO: Viera Uso Kwa Uso Na Balotelli

Kiungo wa Zamani Wa Arsenal Na Timu Ya Taifa ya Ufaransa Mkongwe Patrick Viera, Ameteuliwa Rasmi kuwa Kocha Mkuu ya Klabu Ya Nice Ya Pale Nchini Ufaransa Mapema jana, Akitokea Nchini Marekani, Na Atakua pamoja na Mshambuliaji Mtukutu Mario Balotelli 'Super Mario'

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAHAMU: Nchi zenye wanaume wenye maumbile makubwa duniani Congo yawa tishio

FAHAMU: Nchi za Afrika zenye warembo matata zaidi Je Tanzania ipo?