MICHEZO; SAMATTA Aipeleka Aston Villa Wembley, Kocha Ampumzisha Kuwakabili Vigogo Wa Manchester.


Msambuliaji wa kimataifa na Kapteni wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘TAIFA STARS’ Mapema Jana  Usiku Aliiongoza Klabu yake mpya ya Aston Villa kushinda mchezo wake dhidi ya Vijana wa kingpower kuelekea Fainali Wembley huku wakisubiria mshindi wa nusu fainali ya pili itakayopigwa leo kati ya vigogo wa jiji la Manchester.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAHAMU: Nchi zenye wanaume wenye maumbile makubwa duniani Congo yawa tishio

FAHAMU: Nchi za Afrika zenye warembo matata zaidi Je Tanzania ipo?