MICHEZO; HAZARD KUIVURUGA CHELSEA, ATANGAZA RASMI KUSEPA BAADA YA KUINYUKA FRANKFURT NA KUTINGA FAINALI.


Nyota wa klabu ya Chelsea, Eden Hazard anahitaji kutimkia Real Madrid haraka iwezekanavyo licha ya timu hiyo kutokuwa tayari kumuachia mchezaji huyo wa timu ya taifa ya Ubelgiji mwenye umri wa miaka 28 kwa dau lisilopungua chini ya pauni milioni 100. (ESPN)

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAHAMU: Nchi zenye wanaume wenye maumbile makubwa duniani Congo yawa tishio

FAHAMU: Nchi za Afrika zenye warembo matata zaidi Je Tanzania ipo?