Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2018

BURUDANI: Alda Msanii Mpya Chipukizi Anayekuja kwa Kasi Kwenye RNB, Jux Benpol Wakae Tayari.

Picha
Baada ya Kutamba na Ngoma yake Ya Shida sasa Msanii chipukizi alda mkali wa miondoko ya Rnb amekuja kivingine Zaidi safari hii ni Ngoma ya Mapenzi, Changamoto mpya kwenye Game ya Mziki wa Bongo. Sapoti Yako Ni muhimu kuhakikisha kijana wako anafika mbali zaidi Mfollow katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM -ALDABOE_ TWITTER-ALDABOE_ FACEBOOK-ALDABOE_ 

BURUDANI:Belle 9 amemkosea Sana Madee, anatakiwa achapwe fimbo 70 – Dogo Janja

Picha
Mwezi Juni 7, 2018 msanii wa muziki kutoka Moro Town, Belle 9 akihojiwa na kituo cha Radio cha Jembe FM cha jijini Mwanza alimtaja Madee kama rapa wa Tanzania ambaye haelewi nyimbo zake kabisa anaona kama mzugaji kwani anaona ni msanii ambaye anatoa ‘beat’ tu na sio wimbo Rejea maneno ya Belle 9 kwenye mahojiano hayo “ Honesty, let me be honesty, Madee huwa simuelewi. I don’t know, ujue kuna wasanii inafika kipindi unasikiliza unasema huyo mtu ana-release beat sio wimbo tena, Labda kwa vile nasikiliza rappers ambao wanajua sana au kuna kitu nakitegemea kutoka kwake kutokana muda mrefu yupo kwenye game, kuna kitu nakimisi, so naona kama nikimsiliza na lose, ”. Sasa kufuatia kauli hiyo, Dogo Janja amemjia juu Belle 9 kwa kumwambia kuwa amekosea sana kumbeza msanii mkongwe kama Madee ambaye ameshawahi kutoa ngoma kali nyingi hata kabla ya Belle 9 kujulikana kwenye muziki. Dogo Janja akizungumza kwenye kipindi cha eNEWS cha EATV amesema kuwa Belle 9 amekosea na hana budi kupigwa ...

SPORTS;AC Milan confirm Pepe Reina and Ivan Strinic signings

Picha
AC Milan have made their first two signings of the summer after confirming the arrivals of Pepe Reina and Ivan Strinic on free transfers. Former Liverpool goalkeeper Reina, 35, joins from Napoli, while left-back Strinic, 30, moves from Sampdoria. HUMPHREYGASPER.BLOGSPOT.COM Both players' contracts had expired at their previous clubs.

SPORTS;Inter Milan sign Stefan de Vrij on free transfer from Lazio

Picha
Inter Milan have confirmed the signing of centre-half Stefan de Vrij on a free transfer from Serie A rivals Lazio. The 26-year-old has signed a five-year deal at the San Siro following the expiration of his contract at Lazio. De Vrij - who has 36 caps for the Netherlands - is the fifth signing Inter have made in what is a busy summer for the Serie A side.

SPORTS; Arsenal signs a new defender from germany

Picha
Sokratis Papastathopoulos has completed his move to Arsenal from Borussia Dortmund. The Greek international has joined the Premier League side on a long-term contract for an undisclosed fee. Sokratis makes the switch from Borussia Dortmund where he has won two Bundesliga titles and one German Cup having signed for them in 2013

Top 10 Goals that the world was shocked

Picha