Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2018

MICHEZO: Radja Nainngolan Atangaza Rasmi kutundika Daluga Baada ya Kutemwa.

Picha
Kiungo Nguli wa As Roma Radja Nainngolan ametangaza rasmi kutundika Daluga Mara Baada ya kutemwa Katika kikosi cha Ubelgiji Kuelekea Kule Urusi kwenye Kombe la Dunia Nini Maoni yako.

MICHEZO: Manuel Pellegrin Achukua mikoba ya David Moyes westham.

Picha
Aliyewahi kuwa kocha wa mabingwa wa ligi kuu ya uingereza Manchester city kocha manuel pellegrin ametangazwa rasmi mapema leo kuchukua mikoba ya kocha David moyes aliyeifundisha klabu hio ya london kwa msimu mmoja.